Mtu mwenye bomu amejilipua katika eneo la maduka lenye harakati
nyingi katika Jiji la Istanbul nchini Uturuki na kuuwa watu wapatao
wanne.
Watu wengine 36 wamejeruhiwa baadhi yao ni raia wa kigeni
wakati bomu hilo likilipuka karibu na jengo la serikali katika mtaa
wa Istiklal.
Hakuna mtu aliyekiri kutekeleza shambulizi hilo, kufanyika
katika miezi ya hivi karibuni.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni