Nyota wa soka Neymar
amekuwa kivutio wakati wa mazoezi ya kambi ya Brazil, akijiandaa
kukabiliana na mchezaji mwenzake wa Barcelona, Luis Suarez katika
mchezo wa kimataifa.
Nyota huyo wa Brazil
alionekana kujifua kuongeza kasi jana kuelekea mchezo wao mgumu wa
kuwania kufuzu michuano ya kombe la dunia dhidi ya Uruguay siku ya
kesho huko Recife.
Neymar akipasua katikati ya wachezaji wenzake wa Brazil
Neymar akibadilishana mawazo na Kocha Dunga
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni