.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 24 Machi 2016

NYOTA WA SOKA NEYMAR AWAKIVUTIO KATIKA KAMBI YA BRAZIL

Nyota wa soka Neymar amekuwa kivutio wakati wa mazoezi ya kambi ya Brazil, akijiandaa kukabiliana na mchezaji mwenzake wa Barcelona, Luis Suarez katika mchezo wa kimataifa.

Nyota huyo wa Brazil alionekana kujifua kuongeza kasi jana kuelekea mchezo wao mgumu wa kuwania kufuzu michuano ya kombe la dunia dhidi ya Uruguay siku ya kesho huko Recife.
                              Neymar akipasua katikati ya wachezaji wenzake wa Brazil 
                                               Neymar akibadilishana mawazo na Kocha Dunga

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni