Rais Barck Obama amekuwa rais wa
kwanza kuitembelea Cuba baada ya miongo 10 kupta akiweka historia kwa
ziara yake aliyoambatana na mkewe Michelle, watoto wake Sasha na
Malia.
Wakati Obama akiwasili Jijini Havana
alikaribishwa na mvua iliyokuwa ikinyesha na kwa upande mwingine
kulikuwa na maandamano ya kundi la haki za binadamu.
Rais wa Cuba Raul Castro hakuwepo
uwanja wa ndege kumpokea Obama wakati akitua katika uwanja wa ndege
wa Havana.
Rais Obama akiwa na mwavuli akijikinga na mvua yeye na mkewe Michelle
Rais Obama akimueleza kitu binti yake Malia alipotembelea mji mkongwe wa Havana
Watoto wa rais Obama Malia na Shasha wakifurahi jambo wakiwa pamoja nchini Cuba
Rais Obama akiwapungia mkono wananchi wa Cuba katika mji mkongwe
Ndege la rais Air Force One ikiwa inaelekea kutua Cuba huku wananchi wakiishangaa
Ndege la rais Air Force One ikiwa inaelekea kutua Cuba huku wananchi wakiishangaa
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni