.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 20 Aprili 2016

MWENYEKITI WA CCM DKT. JAKAYA KIKWETE AKIWA ZIARANI NCHINI CHINA


      Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais Mstaafu Mhe Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Mjumbe wa Kamati Kuu Maalum ya watu 7 inayoongoza Chama Cha CPC na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China katika Ofisi za Makao Makuu ya CPC zilizopo Grand Hall jijini Beijing, China.
        Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu Dk Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika moja ya vikao vyake akiwa ziarani China.
 Wajumbe walioongozana na Mkiti wa CCM wakiwa ktk picha ya Pamoja, Kutoka kulia Mhe Prof Mbarawa, Mhe. Dkt Kamani, Mhe Salma Kikwete, Balozi Shimbo, Mhe Jakaya Kikwete, Mhe Zakia Meghj, Mhe Maua Daftar, Mhe Dkt. Mgana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni