.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 9 Aprili 2016

SWANSEA CITY YAIDUWAZA CHELSEA WAKATI GUUS HIDDINK AKIONJA KIPIGO CHA KWANZA

Timu ya Swansea City imepata ushindi wake wa kwanza dhidi ya Chelsea katika Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kuifunga Chelsea bao 1-0, ikiwa ni kipigo cha kwanza kwa kocha Guus Hiddink.

Swansea ilitawala kipindi cha kwanza na kupata bao hilo pekee kupitia kwa mpira uliopigwa na Gylfi Sigurdsson, hata hivyo katika kipindi cha pili Chelsea waliokuwa ugenini walimiliki mpira vyema lakini walidhibitiwa vyema na wenyeji wao.
                Gylfi Sigurdsson akiachia shuti lililojaa wavuni na kuandika bao pekee
                              Pedro akidhibitiwa na wachezaji wa Swansea asilete madhara

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni