Grace Mwasote akiwa na mpira akiangalia jinsi ya kuwatoka wachezaji wenzake wa timu ya netiboli ya Uchukuzi Sports Club. Wengine pichani ni Johari William (kushoto) na Maimuna Ayelo
Matalena Mhagama mfungaji mkongwe pia wa timu ya Taifa ya netiboli(kushoto), akizuiwa na Sharifa Mustafa (kulia) huku Mary Kajigili (kushoto nyuma),akiangalia.
Imetolewa na kitengo cha Sheria na Mahusiano - TAA
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni