.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 5 Mei 2016

FAMILIA YA KARDASHIANS YAWASILI JIJINI HAVANA NCHINI CUBA

Baada ya kuondolewa vikwazo sasa Cuba imepata fursa ya kuonana uso kwa uso na familia ya Kardashians, ambayo nayo imeamua kwenda kwenye kisiwa hicho kwa mara ya kwanza.

Kim akiwa na mumewe Kanye West na watoto wao wawili wametua Jijini Havana jana na kufanya ziara katika Jiji hilo wakiwa kwenye gari la wazi lenye rangi ya pinki.

Katika gari hilo pia walikuwemo dada zake Kim, Khloe, Kourtney na mtoto wa Kourtney, Mason Disick, ambao watapiga picha za tamthilia yao ya maisha ya uhalisia ya familia hiyo.
              Kim akipiga Selfie na Kanye wakikatiza na gari mitaa ya Jiji la Havana
                                                                         Kim akipiga Selfie ya familia yote
                      Kim Kardashian akiingia kwenye jengo la makumbusho Jijini Havana

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni