.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 17 Mei 2016

MAELFU YA WAKAZI WA LEICESTER WAJITOKEZA KUSHEREHEKEA USHINDI WA TIMU YAO

Hafla ya ushindi wa Leicester City imehudhuriwa na maelfu ya mashabiki wa timu hiyo kusherehekea ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza.

Maelfu ya mashabiki hao wa Leicester City walikusanyika maeneo ya kati kati ya Jiji la Leicester jana kushuhudia wachezaji wa timu hiyo wakiwa na kombe la walilotwaa.
              Mwenyekiti wa Leicester City Vichai Srivaddhanaprabha akibeba kombe
                           Timu ya Leicester City ikiwa na kocha wao pamoja na kombe
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni