.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 15 Mei 2016

MKUU WA WILAYA IRINGA, MHE. KASESELA AFUNGA MAFUNZO YA KUNGFU

MKUU WA WILAYA IRINGA, MH KASESELA AKITOA ZAWADI YA MPIRA KWA KITO CHA WATOTO YATIMA KORONGONI
MKUU WA WILAYA AKIWA NA WALE WENYE MADARAJA YA JUU YA KUNG FU (BLACK BELTS)
DIWANI WA KITANZINI MANISPAA YA IRINGA KULIA AKIONYESHA UMAHIRI WAKE WA KUNGFU 

Mkuu wa Wilaya Iringa, Mh Richard Kasesela alifunga mafunzo ya "Kungfu" yalikuwa yanaendeshwa na SHOKINJI KEMPO.

Washiriki kutoka Dares salaam na Dodoma walionyeshana ufundi wa kung Fu na wengine walipandishwa madaraja.

Katika hotuba yake aliwaomba Kemp hiyo kuwa walinzi wa amani kwani sifa kubwa ya wacheza kungfu ni kuhakikisha amani. Mwanzilishi wa Shokinji Kemp alifariki tarehe 14 mwezi wa 5 miaka 60 iliyopita huko Japan.

Mwenyeji wa masjhindano hayo Diwani wa Kitanzini ambaye yupo daraja la juu (Mkanda mweusi) alishukuru sana uwepo wa Mkuu wa wilaya na kuahidi kumsadia katika kulete amani na utulivu pamoja na kuzuia vijana kuingia kwenye tabia mbaya za uvutaji bangi na ulevi.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni