.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 17 Juni 2016

FAINALI YA NBA SASA KUCHEZWA MCHEZO WA SABA BAADA YA CLEVELAND CAVALIERS KUSHINDA

Timu ya Kikapu ya Cleveland Cavaliers imebadilisha muelekeo wa fainali za NBA baada ya kupata ushindi wa pointi 115-101 alfajiri ya leo dhidi ya Golden State Warriors na kulazimisha kuwapo mchezo wa saba wa fainali.

Nyota LeBron James aliiongoza Cavaliers, kupata ushindi huo baada ya kuwa nyuma kwa ushindi mara 3-1 wa michezo ya fainali na sasa itachezwa fainali ya saba jumapili huko Oakland ili kuamua nani bingwa wa NBA Marekani.
                                                        LeBron James akidanki na kufunga kikapu
                                             Stephen Curry akijaribu kumdhibiti LeBron James

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni