.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 17 Juni 2016

UJERUMANI NA POLAND ZATOSHANA NGUVU EURO 2016

Ujerumani na Poland wametoka sare tasa ya kwanza katika michuano ya Euro 2016, wakati timu zote hizo mbili zikipambana kufanikisha kutinga hatua ya mtoano.

Timu hizo zote zina pointi nne na zitafanikiwa kutinga hatua ya 16 bora iwapo zitaepuka kipigo katika michezo yao ya mwisho ya kundi C itakayochezwa siku ya jumanne.
              Mchezaji wa Ujerumani Mesut Ozil akijaribu kuepuka rafu aliyochezewa
             Kipa Fabianski akiruka juu kudaka mpira kati kati ya msitu wa wachezaji

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni