.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 17 Juni 2016

MWALIMU KENYA AFUNGWA JELA MIAKA 90 KWA KUWADHALILISHA KINGONO WATOTO 10

Mwalimu mmoja wa shule ya msingi nchini Kenya amehukumiwa kifungo cha siku 90 jela baada ya mahakama ya Murang'a kumtia hatiani kwa kuwadhalilisha kingono watoto 10 wa kiume.

Hukumu hiyo iliyotolewa jana wakati Afrika ikiadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika, imeagiza mwalimu huyo kutumikia kifungo cha miaka tisa kwa kila mtoto mmoja aliyemdhalilisha.

Kwa hukumu hiyo Mwalimu huyo John Gichia Mugi atatoka gerezani akiwa na umri wa miaka 113 kama ataweza kubakia kuwa hai hadi kufikia umri huo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni