.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 17 Juni 2016

WAZIRI MKUU, MHE. KASSIM MAJALIWA AWAFUTURISHA WABUNGE WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

  Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakipata futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa na kufanyika katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
Naibu Spika wa Spika, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiwaongoza wabunge kupata futari iliyoandaliwa na Wazri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa na kufanyika katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt Tulia Ackson akitoa neno la shukrani kwa Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa mara baada ya futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu katika viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Bunge na Mbunge wa Ilala (CCM), Mussa Azzan Zungu akitoa neon la shukrani kwa Wazri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa mara baada ya futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu na kufanyika katika viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma.
Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Mhe. Andrew Chenge akitoa neon la shukrani kwa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa mara baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu na kufanyika katika viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa akisikiliza neon la shukrni kutoka kwa Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson mara baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu na kufanyika katika viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa akiwashukuru wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kujumuika naye katika futari aliyowaandalia leo na kufanyika katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
                                                              (PICHA NA ISMAIL NGAYONGA- MAELEZO)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni