.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 24 Julai 2016

MAZIKO YAANZA KWA WATU 80 WALIOUWAWA NA IS JIJINI KABUL

Maziko yamefanyika katika mji wa Kabul kwa wahanga wa shambulizi la bomu la kujitoa mhanga linalodaiwa kufanywa na kundi la Dola ya Kiislam (IS) na kuuwa watu 80.

Miili bado inaendelea kuchukuliwa kutoka mochwari huku maziko ya kwanza yakifanyika magharibi mwa mji wa Kabul.

Mlipuaji alilenga maandamano ya jamii ndogo ya Hazara, ambayo ni ya waislam wa jamii ua Shia, ambayo inachukiwa na kundi la IS ambalo ni Sunni.

Rais Ashraf Ghani ameongoza dua ya kuwaombea waliokufa na taifa la 
Afghanistan limetangaza siku moja ya maombolezo ya kitaifa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni