.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 14 Agosti 2016

IMAMU NA MSAIDIZI WAKE WAPIGWA RISASI NA KUUWAWA JIJINI NEW YORK

Imamu na msaidizi wake wameuwawa kwa kupigwa risasi wakitembea mtaani wakati wakitoka msikiti Jijini New York nchini Marekani.

Msemaji wa polisi amesema wawili hao walifuatiliwa kwa nyuma na mwanaume mmoja aliyewapiga risasi vichwani.

Imamu Maulama Akonjee, 55, alihamia mji huo akitokea Bangladesh miaka miwili iliyopita kwa mujibu wa ripoti za Jijini New York.

Polisi wamesema kuwa hakuna ripoti zinazoashiria kuwa Imamu huyo na msaidizi wake walishambuliwa kutokana na imani yao.
Waumini wakiwa wamepigwa na butwaa baada ya kupata taarifa za kifo cha Imamu wao na msaidizi wake
               Waumini wakipaza sauti zao kutaka haki itendeke kufuatia vifo hivyo 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni