.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 14 Agosti 2016

MCHEKESHAJI KEVIN HART AFUNGA NDOA NA MODO ENIKO PARRISH

Muigizaji filamu maarufu na mchekeshaji Kevin Hart amefunga ndoa hii leo na mchumba wake mwanamitindo Eniko Parrish baada ya miaka miwili ya uchumba.

Ndoa hiyo imefungwa umbali wa karibu maili 100 kutoka Los Angeles katika eneo la jamii ya Montecito Jijini California.
Rafiki wa Kevin Hart, Ludacris akiwa na mkewe Eudoxie Mbouguiengue walikuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni