Muigizaji
filamu maarufu na mchekeshaji Kevin Hart amefunga ndoa hii leo na
mchumba wake mwanamitindo Eniko Parrish baada ya miaka miwili ya
uchumba.
Rafiki wa Kevin Hart, Ludacris akiwa na mkewe Eudoxie
Mbouguiengue walikuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni