.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 13 Agosti 2016

KARIMAN ABULJADAYEL MWANARIADHA WA KWANZA WA SAUDI ARABIA KUKIMBIA MITA 100 OLIMPIKI

Mwanariadha Kariman Abuljadayel amekuwa ni mwanamke wa kwanza kutoka taifa la Saudi Arabia kushiriki mbio za Olimpiki za mita 100.

Mwanariadha huyo mwenye miaka 22 akiwa amevalia mavazi ya michezo yaliyofunika mwili mzima, alishindwa kufuzu kwa kumali wa saba katika mchujo wa awali.

Mwanariadha mwingine wa kike wa Afghanistan Kamia Yousufi naye alishiriki mbio hizo akiwa amevalia mavazi ya michezo yaliyofunika mwili mzima na kumaliza wa mwisho.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni