Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda wakati walipokutana katika mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu, kwenye kijiji cha Majimoto wilayani Mlele Agosti 23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary wakizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu
Mizengo Pinda wakati Waziri Mkuu, alipohutubia mkutano wa hadara
kwenye kijiji cha Majimoto wialayani MleleAgosti 23, 2016. Wapili kulia
ni Mbunge wa Kavuu, Dkt.Pundeciana Kwembe.(Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni