.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 25 Agosti 2016

MANCHESTER CITY YAMPATA KIPA WA KUCHUKUA MIKOBA YA JOE HART

Uhamisho wa golikipa Claudio Bravo kwenda Manchester City umekamilika na kufungua milango kwa Joe Hart kuondoka dimba Etihad katika msimu wa majira ya joto.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Chile, amethibitishwa kujiunga na City saa chache baada ya Barcelona kuthibitisha kumpata mrithi wake Jasper Cillessen kutoka Ajax.

Manchester City imetoa kitita cha paundi milioni 17 kumnasa Bravo kufuatia uamuzi wa Pep Guardiola kumtosa Joe Hart. 
         Claudio Bravo akitua Manchester hii leo tayari kwa ajili ya kufanyiwa vipimo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni