.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 30 Agosti 2016

MBWA AFANYA MAZOEZI NA TIMU YA TAIFA YA ARGENTINA

Kurejea kwa Lionel Messi kuichezea timu ya taifa, huenda kukacheleweshwa na kuwa majeruhi, lakini wachezaji wenzake wa Argentina wanaonekana kutovunjika moyo kumkosa nyota huyo.

Timu ya Barcelona imetangaza kwamba Messi ameumia misuli ya paja lake la mguu wa kushoto, hivyo huenda asicheze mchezo wa ujao wa kuwania kufuzu kombe la dunia 2018.

Hata hivyo timu ya taifa ya Argentina ilionekana ikiwa kwenye hari ya hali ya juu mazoezini huku mbwa akijiunga nao kwenye mazoezi. 
                                           Wachezaji wa Argentina wakifanya mazoezi na mbwa 
                                                        Majeruhi Lionel Messi akiwa amekaa chini 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni