.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 28 Agosti 2016

UZINDUZI WA DR.AMON MKOGA FOUNDATION SOUTHERN SUN HOTEL TAREHE 25/8/2016


Pichani ni Mwenyekiti wa Dr.Amon Mkoga Foundation na Bw.Habibu Msammy (Mwenye miwani), mwakilishi wa Katibu mkuu wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo pembeni ni Bw.Basel Haydar na Meneja wa shirika la Ndege la Qatar nchini Tanzania ambao ni wadhamini wa kuu wa mradi wa madawati uitwao Simama kaa desk campaign ambao unaendeshwa na Taasisi hiyo.

Mradi huo mwenye lengo la kupunguza uhaba wa madawati unadhaminiwa pia na Halotel, Empress Furniture, TIRA, CBA Bank, Insignia,tayari mikoa ya Tabora na Pwani wameanza kufaidi matunda ya mradi huo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni