.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 1 Septemba 2016

CHELSEA YAMREJESHA TENA LIGI KUU YA UINGEREZA BEKI DAVID LUIZ

Chelsea imemrejesha tena katika dimba la Stamford Bridge, David Luiz, baada ya kukamilisha uhamisho wa paundi milioni 32.

Beki huyo raia wa Brazil amejiunga tena na ligi kuu ya Uingereza kwa mkataba wa miaka mitatu baada ya kuondoka muda wa miaka miwili, baada ya kuondoka kujiunga na Paris Saint-Germain ya Ufaransa.
                    David Luiz akionyesha ishara ya dole gumba kuashiria mambo ni safi

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni