.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 23 Septemba 2016

CLAUDIO RANIERI AZIKA 'BIFU' NA KUSEMA KOCHA JOSE MOURINHO NI MTU MZURI

Kocha wa Leicester City, Claudio Ranieri, amesema kuwa kocha Jose Mourinho ni mtu mzuri, na misuguano yao yoyote ya nyuma imebakia historia.

Mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza wataivaa Manchester United katika dimba la Old Trafford hapo kesho, huku makocha hao wakiwa na historia ya kukorofishana.

Jose Mourinho aliwahi kumuita Ranieri mtu aliyeshindwa wakati alipochukua nafasi yake Chelsea na pia alimtolea lugha chafu akiwa kocha wa Inter Milan.
   Kocha Jose Mourinho amekuwa na tabia ya kubwatuka na kukorofishana na makocha wenzake

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni