.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 23 Septemba 2016

MZOZO WA BRAD PITT NA MTOTO WAKE MADDOX WADAIWA KUWA NDIO CHANZO CHA JOLIE KUDAI TALAKA

Imebainika kuwa mzozo wa maneno baina ya Brad Pitt na mtoto wake Maddox ndio uliomfanya Angelina Jolie kufungua madai ya kuomba talaka mahakamani.

Tukio hilo linafanyiwa uchunguzi na FBI, lakini moja ya chanzo kimesema tuhuma za kumpiga mtoto huyo zimetiwa chumvi.

Hapo jana polisi wameonekana wakiwasili kwa gari kwenye nyumba ya Jolie na Pitt iliyopo Hollywood Hills, ambako Pitt inasemekana anakaa kwa wakati huu.
                              Muigizaji filamu Brad Pitt akiwa na mtoto wake wa kuasili Maddox

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni