Mchezaji mpya wa Leicester City
aliyesajiliwa kwa rekodi Islam Slimani amecheza mchezo wake wa kwanza
wa Ligi Kuu na kuifungia timu yake magoli mawili katika ushindi wa
magoli 3-0 dhidi ya Burnley.
Mshambuliaji huyo alifunga goli lake
la kwanza mnamo dakika ya mwisho ya kipindi cha kwanza kwa kichwa
kufuatia mpira wa adhabu uliopigwa na Christian Fuchs.
Islam Slimani akiwa juu angani baada ya kuupiga mpira wa kichwa uliojaa wavuni
Beki Ben Mee akijifunga goli wakati akijaribu kuokoa krosi ya Mahrez
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni