Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akipokea hundi ya shilingi 1,000,030,100/= kutoka kwa Katibu Mkuu
Kiongozi, Balozi Mhandisi John Kijazi (katikati) na Msajili wa
Hazina, Lawrence Mafuru (kushoto) kwa ajili ya waathirika wa
tetemeko la ardhi lililotokea Kagera . Fedha hizo ni michango ya
watumishi wa serikali na Taasisi zake. Makabidhiano hayo yalifanyika
Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Septemba 20, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza baada ya kupokea hundi ya shilingi 1,000,030,100/= kutoka
kwa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Mhandisi John Kijazi (katikati) na
Msajili wa Hazina, Lawrence Mafuru (wapili kulia) na Msajili wa
Hazina Lawrence Mafuru (kushoto) .Fedha hizo ni michango ya
watumishi wa serikali na taasisis zake na makabidhiano yalifanyika
Ofisni kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Septemba 20, 2016. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni