Msajili wa Bodi ya Usajili wa
Wabunifu Majengo na Wakadriaji Majenzi, Jehad A. Jehad (kulia),
akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam,
kuhusu semina ya 26 siku moja itakayo washirikisha wadau wa Sekta ya
ujenzi itakayofanyika kesho kutwa Septemba 22, 2016 katika Ukumbi wa
Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere. Kushoto ni Mwenyekiti wa
Bodi hiyo, Ambwene Mwakyusa.
Viongozi wa Bodi ya Usajili wa
Wabunifu Majengo na Wakadriaji Majenzi wakiwa kwenye mkutano huo.
Kutoka kulia ni Mkuu wa Utawala, Angelo Ngalla, Mwanasheria, Ibrahim
Mohamed na Ofisa Uhusiano, Hamisi Sungura.
Baadhi ya waandishi wa habari
wakifuatilia Mkutano huku wakirekodi
Waandishi wa habari wakirekodi na kuandika taarifa za mkutano huo
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni