.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 18 Septemba 2016

MLIPUKO WAJERUHI WATU 29 KATIKA MJI WA MANHATTAN JIJINI NEW YORK

Mlipuko unaodhaniwa kuwa ni wa bomu umetokea usiku wa jumapili huko Manhattan na kujeruhi watu 29.

Polisi Jijini New York wanachunguza kitu kingine kinachodhaniwa kuwa ni bomu la pili lililopo kwenye chombo cha kupikia maarufu kwa lugha ya kigeni kama pressure cooker.

Picha za CCTV zenye kuogofya zinaonyesha mlipuko huo ukitokea New York katika eneo la jirani na Chelsea majira ya saa mbili na nusu usiku.
Mtu aliyejeruhiwa akiwa kwenye machela yenye magurudumu akiwahishwa kupatiwa matibabu
            Mmoja wa majeruhi akiwa amepatiwa huduma ya kwanza kwenye gari la wagonjwa


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni