.
.
.
.
.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga
|
TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.
mbani
NYUMBANI
HABARI
SIASA
MICHEZO
BURUDANI
TABASAMU
KIMATAIFA
Jumapili, 18 Septemba 2016
MWANAMUZIKI NYOTA WA MUZIKI WA KWAITO MANDOZA AFARIKI DUNIA
Rais Jacob Zuma ametuma salamu zake za rambirambi kufuatia kifo cha mwanamuziki nyota wa muziki wa Kwaito, Mandoza.
Mandoza, ambaye jina lake halisi ni Mduduzi Tshabalala amefariki dunia leo Jijini Johannersburg wakati akikimbizwa hospitali.
Mandoza, 38, aliyekuwa akitamba na ngoma kama Nkalakatha, Godoba, Tsotsi Yase Zola na Uzoyithola Kanjani alikuwa akisumbuliwa na saratani ya ubongo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni ( Atom )
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni