Watoto wanne wamefariki dunia leo
asubuhi nchini Kenya baada ya kula mihogo inayosadikiwa kuwa na sumu
katika kijiji cha Uhuru kwenye Kaunti ya Siaya.
Mtoto wa tano amekimbizwa katika
hospitali ya rufaa ya Kaunti ya Siaya, ambapo bado anapatiwa
matibabu.
Watoto wanne waliokufa wametambulika
kuwa ni Vivian Otieno, 17, Stephen Otieno, 12, Christine Otieno, 11,
na Calvins Otieno, 8.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni