Mchezaji tenesi namba moja, Serena
Williams, ameweka rekodi mpya ya Grand Slam kwa kushinda mara 308
baada ya kumshinda Yaroslava Shvedova wa Kazakhstan katika michuano
ya Wazi ya Marekani Jijini.
Mmarekani huyo mwenye umri wa miaka
34, ameipita rekodi ya Roger Federer aliyoiweka kwa kwa kushinda
mechi nyingi za michuano mikubwa ya tenesi, baada ya kumfunga
Shvedova kwa seti 6-2 6-3.
Yaroslava Shvedova akimpa mkono wa kumpongeza Serena Williams baada ya kumshinda
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni