Timu ya taifa ya Ufaransa imeanza
vyema mchezo wake wa kwanza wa kuwania kufuzu kutinga michuano ya
kombe la dunia 2018, kwa kupata ushindi wa magoli 4-1 dhidi ya
Bulgaria.
Katika mchezo huo wenyeji Ufaransa
ilijikuta ikifungwa goli katika dakika ya sita kwa mkwaju wa penati
uliopigwa na Mihail Aleksandrov, lakini Kevin Gamero akasawazisha kwa
kichwa cha kuchupa.
Kevin Gamero akifunga goli la kusawazisha kwa mpira wa kichwa cha kuchupa
Antonio Griezmann akifunga goli la tatu la timu ya taifa ya Ufaransa



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni