Mtafiti Rika Shirikisho la Watu wenye Ulemavu Bi. Regina Mbaji akiwasilisha mada wakati mkutano wa wadau wa masuala la watu wenye mahitaji maalum walipowasilisha matokeo ya tafiti Mpya ya Ubainishaji Hali Halisi ya Ulemavu na Uzee Nchini Ukumbi wa Mikutano hoteli ya Serena Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu), Mhe. Dkt. Abdallah Possi akizungumza na baadhi ya wadau walioshiriki katika Mkutano wa kujadili masuala ya watu wenye mahitaji maalum uliofanyika katika hoteli ya Serena Oktoba 12, 2016, wa kwanza kulia ni Bi. Clotilda Isdori na katikati ni Bw.Elisha Sibale. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni