.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 22 Oktoba 2016

TIMU YA LEICESTER CITY YAIPA KIPIGO CRYSTAL PALACE

Timu ya Leicester City imefikisha rekodi ya kutokufungwa nyumbani kufikia michezo 20 baada ya kuibuka na ushindi wa magoli 3-1 dhidi ya Crystal Palace.

Katika mchezo huo Ahmed Musa aliifungia Leicester goli la kwanza, huku Shinji Okazaki na Christian Fuchs wakifunga katika kipindi cha pili na kuihakikishia ushindi.

Yohan Cabaye aliifungia Crystal Palace goli pekee, huku pia Palace ikilichachafya mno goli la Leicester katika dakika tano za mwisho.
                Ahmed Musa akiwa amejipinda na kuachia shuti lililozaa goli la kwanza 
                   Kipa Mfaransa Mandanda akiwa miguu juu baada ya Okazaki kufunga goli 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni