.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 19 Novemba 2016

KOCHA PEP GUARDIOLA AKANUSHA MADAI ALIYOTOA SAMIR NASRI

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amekanusha madai kuwa amewaambia wachezaji wake kutofanya tendo la ndoa baada ya saa sita usiku.

Kiungo Samir Nasri, ambaye anachezea kwa mkopo timu ya Sevilla, alidai kuwa kocha Guardiola alitoa agizo hilo ili wachezaji wapate muda wa usingizi mzuri.

Hata hivyo kocha huyo wa zamani wa Barcelona, amekanusha madai hayo na kusema yeye anawahamasisha wachezaji wake wafanye zaidi tendo la ndoa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni