.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 16 Novemba 2016

ALEXIS SANCHEZ AIONGOZA CHILE KUPATA USHINDI NA KUONDOA HOFU YA KUWA MAJERUHI

Alexis Sanchez ameondoa hofu ya kuwa majeruhi katika mchezo wa Arsenal dhidi ya Manchester United baada ya kufunga magoli mawili wakati Chile ikiifunga Uruguay magoli 3-1 katika mchezo wa kuwania kufuzu kutinga michuano ya kombe la dunia.

Nyota huyo wa Arsenal alifunga magoli hayo mawili katika kipindi cha pili na kuipatia Chile pointi tatu muhimu. Katika mchezo huo Edinson Cavani aliifungia Uruguay goli la kuongoza baada ya dakika 14 lakini likasawazishwa na Eduardo Vargas.
                                         Mshambuliaji Edinson Cavani akishangilia goli alilofunga
                       Alexis Sanchez akishangilia moja ya magoli aliyoyafunga jana usiku

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni