.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 28 Novemba 2016

ALEXIS SANCHEZ AMALIZA MWENDO WA SARE TATU WA ARSENAL

Timu ya Arsenal imemaliza mwendo wa sare tatu mfululizo baada ya Alexis Sanchez kufunga mara mbili na Theo Walcott kufunga mara moja katika mchezo na Bournemouth na matokeo kuwa magoli 3-1.

Katika mchezo huo Sanchez aliandika goli la kwanza katika dakika ya 12 kufuatia makosa ya pasi ya nyuma mbovu ya Steve Cook, hata hivyo goli hilo lilisawazishwa na Callum Wilson kwa njia ya penati.

Arsenal nusura waongeze goli la pili pale shuti la Sanchez lilipogonga mwamb, lakini badaye Walcott alifunga goli kwa mpira wa kichwa akiunganisha mpira wa krosi ya Monreal. Sanchez aliongeza goli la tatu akiunganisha krosi ya Olivier Giroud.
   Alexis Sanchez akiachia shuti lililomshinda kipa wa Bournemouth na kutinga wavuni
                       Theo Walcott akiangalia mpira wa kichwa alioupiga na kufunga goli

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni