.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 20 Novemba 2016

ARSENAL YALAZIMISHA SARE NA MANCHESTER UNITED DAKIKA ZA MWISHO

Goli la kusawazisha la Olivier Giroud la dakika ya 89, limeipatia Arsenal pointi moja na kuinyima Manchester United ushindi ambao walikuwa wakishahili kuupata katika dimba la Old Trafford.

Katika mchezo huo Juan Mata aliifungia Manchester United goli la kwanza kwa shuti la guu la kushoto, akiunganisha pasi ya Ander Herrera katika dakika ya 68.

Arsenal walikuwa hawajafanya jitihada zozote makini za kutafuta goli walijikuta wakisawazisha goli hilo kupiti Giroud aliyeunganishwa kwa kichwa krosi ya Alex Oxlade-Chamberlain.
          Kipa Petr Cech akiwa hana la kufanya baada ya kushindwa kuzuia shuti la Juan Mata
  Mshambuliaji Oliver Giroud akiwa ameruka juu na kupiga mpira kwa kichwa uliosawazisha goli

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni