.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 19 Novemba 2016

BUSU LA JLO LAVUNJA NDOA YA MARC ANTHONY NA MODO SHANNON DE LIMA

Mwanamuziki Marc Anthony ametengana na mkewe Mwanamitindo raia wa Venezuela Shannon De Lima.

Ndoa ya Marc Anthony na De Lima iliyodumu kwa miaka miwili, imevujika baada ya Marc Anthony kupigana busu mkewe wa zamani Jenniffer Lopez.

Jennifer Lopez na Marc Anthony walibusiana kwa hisia jukwaani katika hafla ya tuzo za Latin Jijini Las Vegas.
  Jennifer Lopez na Marc Anthony wakiwa wamekumbatiana kwa hisia katika hafla ya tuzo za Latin
  Jennifer Lopez na Marc Anthony pia waliimba pamoja katika hafla hiyo ya utoaji tuzo za Latin  

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni