.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 24 Novemba 2016

LIONEL MESSI AIONDOA CELTIC LIGI YA MABIGWA ULAYA

Timu ya Celtic imeondolewa katika Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati Barcelona ikiongoza kundi C katika michuano hiyo.

Katika mchezo huo Lionel Messi alifunga goli la kwanza kufuatia pasi ya kiufundi kutoka kwa Neymar, na kisha baadaye kipa Craig Gordon akamnyima goli Luis Suarez.

Mchezaji Celtic Moussa Dembele alijikuta akipoteza nafasi nzuri ya kufunga kabla ya Lionel Messi kufunga goli la pili kwa mkwaju wa penati.
           Lionel Messi akiachia shuti la mguu wake wa kushoto na kuandika goli la kwanza
                                            Lionel Messi akifunga goli la pili kwa mkwaju wa penati

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni