.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 29 Desemba 2016

DELE ALLI ATIKISA NYAVU MARA MBILI WAKATI TOTTENHAM IKIUWA

Dele Alli ametikisa nyavu mara mbili wakati Tottenham wakiendelea kuisaka nafasi ya nne ya msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza, baada ya kuifunga Southampton magoli 4-1.

Southampton walikuwa wa kwanza kupata goli katika dakika ya pili ya mchezo kupitia kwa beki
Virgil van Dijk, lakini Dele Alli alisawazisha katika dakika ya 19.

Harry Kane alimaliza ukame wa kutofunga goli katika michezo mitatu kwa kufunga goli la pili, naye Son Heung-Min akaongeza la tatu huku Alli akimalizia goli la nne.
               Harry Kane akiruka juu na kuupiga kwa kichwa mpira wa kona uliozaa  goli
                               Son Heung-Min aliyetokea benchi akifunga katika mchezo huo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni