.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 11 Februari 2017

MASHABIKI WA SOKA 17 WAFA KWA KUKANYAGANA UWANJANI NCHINI ANGOLA

Watu wapatao 17 wamekufa katika tukio la kukanyagana kwenye uwanja wa mpira kaskazini mwa Angola katika mji Uige.

Mamia wameripotiwa kujeruhiwa wakati mashabiki wa soka walipovamia geti baada ya kuzuia kuingia ndani ya uwanja, kutokana na uwanja kujaa.

Baadhi ya mashabiki walioanguka walikandamizwa chini na kufa kwa kukosa hewa katika tukio hilo lililotokea jana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni