.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 11 Februari 2017

NYANGUMI 100 WAOKOLEWA BAADA YA KUINGIA KINA KIFUPI CHA MAJI

Watu waliojitolea nchini New Zealand wamefanikiwa kuwarejesha kwenye kina kirefu nyangumi 100 kati ya 400 waliojikuta wakikwama kwenye kina kifupi cha maji.

Wengi wa nyangumi hao walikufa katika kisiwa cha kusini, baada ya kukaa muda mrefu nje ya maji, lakini kwa nyangumi walionusuriwa sasa wanaogelea baada ya kuokolewa.

Mamia ya wakazi wa kisiwa hicho walifanikiwa kuokoa maisha ya nyangumi hao 100, kwa kuwasukuma hadi kwenye kina kirefu cha maji.
        Watu wakishirikiana kumsukuma nyangumi kuelekea kwenye maji ya kina kirefu

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni