.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 1 Aprili 2017

CHINA YAPIGA MARUFUKU UFUGAJI NDEVU NDEFU KATIKA MKOA WA XINJIANG

Nchi ya China imekataza mambo mbalimbali katika mkoa wa magharibi wa Xinjiang katika kile ilichoeleza kuwa ni kukabiliana na vikundi vya Kiislam vyenye itikadi kali.

Miongoni mwa mambo yaliyokatazwa ni pamoja kufuga ndevu ndefu, uvaaji wa hijabu katika maeneo ya umma, na kuzuia watu kuangalia televisheni ya taifa.

Xinjiang ni makazi ya jamii ya Uighurs, ambayo ni waumini wa dini ya Kiislam ambao wamekuwa wakisema kuwa wamekuwa wakikandamizwa.
                           Wanawake wa jamii ya Uighurs wakiwa wamevalia vazi la hijabu mitaani

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni