.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 24 Aprili 2017

CHRISTIAN BENTEKE AIZAMISHA LIVERPOOL KATIKA DIMBA LA ANFIELD

Mshambuliaji Christian Benteke ameigeuzia kibao klabu yake ya zamani wakati Crystal Palace ikiifunga Liverpool katika dimba la Anfield kwa magoli 2-1.

Benteke alifunga magoli mawili ya Crystal Palace moja katika kila kipindi, wakati kikosi cha Sam Allardyce kikipambana kutoka nyuma kufungwa goli la mpira wa adhabu la Philippe Coutinho na kuibuka na ushindi.

Liverpool ilimuuza Benteke kwa Crystal Palace kwa kitita cha paundi milioni 5, ikiwa ni kiasi cha chini kuliko walichomununulia mshmabuliaji huyo Mbelgiji, lakini jana alikuwa mwimba mchungu kwao.
                                      Philippe Coutinho akipiga mpira wa adhabu uliojaa wavuni 
                                   Christian Benteke akifunga moja kati ya magoli yake mawili

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni