.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 1 Mei 2017

KIKONGWE MWENYE UMRI WA MIAKA 146 AFARIKI DUNIA INDONESIA


Mwanaume mmoja anayedai kuwa ndiye mtu mwenye umri mkubwa kuliko wote duniani amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 146, kijijini kwao Java ya Kati nchini Indonesia.

Kwa mujibu wa nyaraka zake, Sodimedjo, ambaye pia anajulikana kama Mbah Ghoto (Babu Ghoto), alizaliwa mwezi Desemba mwaka 1870.

Lakini Indonesia kwa wakati huo ilikuwa haijanza kuweka kumbukumbu za kuzaliwa hadi mwaka 1900, na kumekuwa na makosa ya uhakika wa umri kabla ya hapo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni