Liverpool imeichakaza West Ham na
kurejea katika nafasi ya tatu katika mchezo ambao mshambuliaji Daniel
Sturridge akifunga goli lake la kwanza tangua Januari.
Liverpool ilipata goli lake la
kwanza kupitia Philippe Coutinho iliyonswa na Sturridge aliyemzunguka
kipa Adrian na kufunga goli.
Mbarzili Countinho akafunga magoli
mawili baada ya mapunziko kabla ya Divock Origi kufunga goli la nne
na kukamilisha karamu.
Daniel
Sturridge akimzungusha kipa Adrin na kufunga goli la kwanza
Divock Origi akifunga goli katika mchezo huo Liverpool walioutawala



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni