.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 14 Agosti 2017

NEYMAR ACHANGIA USHINDI WA PSG NA KISHA NAYE KUTUPIA GOLI MOJA

Neymar amefunga goli la kwanza akiwa na Paris St-Germain katika mchezo wake wa kwanza tangu asajiliwe kwa dau lililoweka rekodi la paundi milioni 200 kutoka Barcelona.

Mchezaji huyo raia wa Brazili alikuwa na mchango katika magoli yote matatu ya PSG na kuifanya timu yake kuendelea kufanya vyema kwa asilimia 100.

Jordan Ikoko alifunga goli la kwanza baada ya kujifunga kimakosa wakati akizuia pande la Neymar lisimfikie Cavani.

Neymar tena akigongeana vyema mpira na Cavani na kisha naye kutoa pande zuri kwa Neymar ambaye alifunga katika umbali wa yadi sita.
              Mbrazil Neymar akiachia shuti na kufunga goli lake la kwanza akiwa na PSG
               Wachezaji wa PSG wakimpongeza Neymar baada ya kufunga goli la tatu

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni