Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake,
Rais wa Uganda Yoweri Museveni wakivuta utepe kuashiria uwekaji wa
jiwe la msingi la mradi mkubwa wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima
Uganda hadi Tanga huku viongozi mbalimbali wa Tanzania na Uganda
wakishuhudia. Shughuli hiyo ilifanyika katika kijiji cha Chongoleani
nje kidogo ya jiji la Tanga.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mkono wa
pongezi na mgeni wake Rais wa Uganda Yoweri Museveni mara baada ya
uwekaji wa jiwe la msingi la mradi mkubwa wa bomba la mafuta ghafi
kutoka Hoima Uganda hadi Tanga huku Viongozi mbalimbali wa Tanzania
na Uganda wakishuhudia. Shughuli hiyo ilifanyika katika kijiji cha
Chongoleani nje kidogo ya jiji la Tanga
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Uganda
Yoweri Museveni wakiwa katika picha ya pamoja na waandishi wa habari
mbalimbali waliohudhuria shughuli ya uwekaji wa jiwe la msingi la
mradi mkubwa wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda hadi Tanga
katika kijiji cha Chongoleani nje kidogo ya jiji la Tanga.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake
Rais wa Uganda Yoweri Museveni mara baada ya kuwasili katika kijiji
cha Chongoleani kwa ajili ya uwekaji wa jiwe la Msingi mradi wa bomba
la mafuta ghafi kutoka nchini Uganda hadi Tanga.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na mgeni wake
Rais wa Uganda Yoweri Museveni katika uwanja wa ndege wa Tanga mara
baada ya kuweka jiwe la msingi mradi mkubwa wa bomba la mafuta ghafi
kutoka Hoima Uganda hadi Tanga katika kijiji cha Chongoleani nje
kidogo ya jiji la Tanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia katika viwanja vya Chongoleani kabla ya tukio la uwekaji wa jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta.
Rais wa Uganda Yoweri Museveni akihutubia katika viwanja vya Chongoleani nje kidogo ya jiji la Tanga.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake
Rais wa Uganda Yoweri Museveni wakati wakielekea kuweka jiwe hilo la
msingi.
Wasanii wakitumbuiza
katika uwanja wa Chongoleani
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake
Rais wa Uganda Yoweri Museveni wakiwa katika picha ya pamoja na
wasanii mbalimbali mara baada ya kutumbuiza. PICHA ZOTE NA IKULU
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni