.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 13 Agosti 2017

TOTTENHAM YAANZA LIGI KUU YA UINGEREZA KWA USHINDI WA MAGOLI MAWILI

Timu ya Tottenham imeanza ligi kuu ya Uingereza kwa ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Newcastle iliyopanda daraja ambayo ilijikuta ikibakia na wachezaji 10.

Newcastle walishuhudia kapteni wao Jonjo Shelvey akitolewa nje katika kipindi cha pili kwa kumchezea vibaya Dele Alli.

Dele Alli alikuwa wa kwanza kufunga goli akiteleza na kuupiga mpira uliomshinda kipa wa Newcastle na kisha baadaye Ben Davies kufunga goli la pili.
                             Mshambuliaji wa Tottenham Dele Alli akiofunga goli la kwanza
                            Ben Davies akiifungia Tottenham goli la pili katika mchezo huo 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni